charlaw
Wednesday, 12 August 2015
SIONI MWINGINE LYRICS BY MARTIN MURUNGA
Sioni mwingine mimi, Wa kuabudu
Ila niwewe bwana, uliye juu X2
Mimi nimetembea, Milima na mabonde,
Sijaona wa kuabudiwa,
Ndani ya bahari, ata nchi kavu baba
,mimi sijaona , wa kuabudiwa
Sioni mwingine mimi, Wa kuabudu
Ila niwewe bwana, uliye juu X2
Hapa duniani, yahweh hakuna mwingine baba,
wa kuabudiwa ni wewe bwana, uliye juu
Kati ya wanadamu yahweh, hakuna mwingine wa kumpenda,
Ila niwewe bwana, uliye juu
Sioni mwingine mimi, Wa kuabudu
Ila niwewe bwana, uliye juu X2
Hakuna mwingine , kati ya wanadamu yesu,
Wa kumsudia niwewe tu bwana, Halleluya,
Nikufananishe na nani Bwana.
Kati ya wanadamu, Mimi sijaona kamwe,
wa kuabudiwa ni wewe yesu, Uliye juu,
Wanyama wa porini Bwana, ata ndege wa angani yesu,
Hakuna mwingine wa kumwabudu, Ila wewe tu.
Sioni mwingine mimi, Wa kuabudu
Ila niwewe bwana, uliye juu X4
[Solo]
ila ni wewe bwana, uliye juu X2
ila ni wewe bwana, uliye juu X4
ila ni wewe bwana, uliye juu X3
Wednesday, 5 August 2015
ITSHOKWADI LYRICS BY MKHULULI BHEBHE FT JOYOUS CELEBRATION
Ichokwadi mwari varipo
Ichokwadi mwari varipo
Ichokwadi mwari varipo
Ichokwadi mwari varipo (repeat)
Surely the presence of the Lord is here
Surely the presence of the Lord is here
Oh surely the Lord is here
Oh surely the Lord is here (repeat)
Chorus:
Usarambe kudaiira (Do not refuse to answer)
Usarambe kudaiira (Do not refuse to answer)
Kana Jesu ouya achidaidza iwe (When Jesus is calling you)
Kana Jesu ouya achidaidza iwe (When Jesus is calling you)(repeat)
(Knock Knock/Gogo goyi)
(Chorus)
Ndinofarira Jesu nekuti anondiitira mushe(mushe)
(I like Jesus because he does good things to me)
Ndofarira Jesu nekuti anondiitira bho(bho)
(I like Jesus because he does grand things for me)
Ndofarira Jesu nekuti anondiitira zvose(zvose)
(I like Jesus because he does everything for me)
Ndofarira Jesu nekuti anondiitira nice(aah nice)
(I like Jesus because he does nice things for me)
Anondiitira nice(nice),Anondiitira nice(nice)
Nice(nice),Nice(nice),Nice(nice)
(Chorus)
(Knock Knock/Gogogoi)
NIACHE NIIMBE LYRICS BY PITSON
Siku moja mama nitakujengea , Nyumba ya kifahari uishi poa mama, na pesa za mziki
Siku moja baba nitakununulia, gari la kifahari uendeshepoa baba, na pesa za mziki
Siku moja dada nitakulipia, karo ya shule, uende university, na pesa za mziki
Siku moja brother nitakufungulia biashara kubwa, uwe sonko brother, na pesa za mziki
[Refrain]
Ikiwa ntakua rubani , niendeshe ndege, niwe rubani , rubani anaimba
na Ikiwa ntakua karani, karani wa benki, niwe karani, karani anaimba
Ikiwa ntakua waziri, waziri wa serikali , niwe waziri, waziri anaimba
Oh popote niendapo, chochote nifanyacho, yeyote nitakuwa, niwe naimba.
Mama na baba naomba mniache niimbe
Niache niimbe X3
Shule nitaenda lakini mniache niimbe
Niache niimbe X3
kazi nitafanya lakini mniache niimbe
Niache niimbe X3
Mimi naahidi ntaimba nyimbo za injili
Niache niimbe X3
Mungu ni mwaminifu X4
Hakuna anayeweza hajapewa kitu cha kufanya,
Wengine wanauza nguo gikosh
Wenginewanashona ah,
Wengine wamekonda wanakimbia, mabouncer wameshona.
Wengine maodijo, polisi, ma CEO, ma M.D,
ma H.U.S.T.L.E.R maustler
[Refrain]
Subscribe to:
Posts (Atom)